Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Juni, 2019

KINYWA CHA CHA HEKIMA

ROHO MTAKATIFU ANATUPA KINYWA CHA HEKIMA Bwana Yesu asifiwe✋✋✋ Karibu katika tafakari hii kuhusu Roho Mtakatifu kutuzawadia kinywa cha hekima kwa wale tunaomwamini Bwana Yesu na kujazwa Roho Mtakatifu ..... Kumekuwa na tatizo kubwa ambayo watu waliookoka tunakosea kujibu wale wale wanaotuonea na kututesa hasa kutusema vibaya . Tunajikuta tunajibu vibaya au kutusi kabisa.  Habari njema ni kwamba Bwana Yesu ametuahidi kuwa atatupatia Hekima katika usemi wetu na kuwashida wale wanye nia mbaya juu yetu. Pamoja na kuwashuhudia habari njema za wakovo waengine. Luka 21 ¹⁵ kwa sababu mimi nitawapa kinywa na hekima ambayo watesi wenu wote hawataweza kushindana nayo wala kuipinga . ¹⁶ Nanyi mtasalitiwa na wazazi wenu, na ndugu zenu, na jamaa zenu , na rafiki zenu , nao watawafisha baadhi yenu . ¹⁷ Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa ajili ya jina langu. ¹⁸ Walakini hautapotea h...

YESU NI MTETEZI WANGU

Picha
Bwana Yesu ni mtetezi wangu ni mahali utajipatia Neno la Mungu lenye uzima katika maisha yako. Karibu sana mmahali hapa kujipatia Neno la Barka kubwa juu ya maisha yako. ❝Lakini mimi najua ya kuwa Mteteaji wangu yu hai, Na ya kuwa hatimaye atasimama juu ya nchi. ❞  Ayubu 19: 25 (Biblia Takatifu) KARIBU TUJIFUNZE KWA BWANA MAJARIBU NI VITA DHIDI YA IMANI YETU. ________________ MPENDWA KATIKA JINA LA YESU NAKUSALIMU. Napenda tutafakari pamoja kuhusu majaribu. *Majaribu kwa ujumla ni vita dhidi ya imani yetu. Hivyo tunapaswa kubeba mzigo wa maombi katika maisha yate.* *Neema ya Mungu yatosha kutuwezesha kushinda kila vita juu yetu.* *VYANZO VYA MAJARIBU* kuna vyanzo vitatu kujaribiwa katika maisha yetu. 🔆Mwili... ni adui wa maswala ya imani na rohoni hivyo tunapaswa kuwa makini na vita hivyo.. *Yakobo1* *13 Mtu ajaribiwapo, asiseme, Ninajaribiwa na Mungu; maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu mtu.* *14 Lakini kila mmoja hujaribiwa na tam...